Sunday, 8 May 2016

MAAZIMISHO YA SIKUKUU YA WAFANYAKAZI DUNIANI MEI MOSI YAFANA MJINI KIBAYA - WILAYANI KITETO

KATIKA MAAZIMISHO HAYA MGENI RASMI ALIKUWA NI MKUU WA WILAYA YA KITETO Mh. COL. S. NZOKA ALIYEAMBATANA NA VIONGOZI MBALIMBALI WA SERIKALI NA TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI.


KWA UJUMLA SHEREHE HIZI ZILIFANA KWELI KWELI ZILIZOSHEHENI BURUDANI ZA AINA YAKE AMBAZO ZILIWASILISHA UJUMBE KWA SERIKALI NA WANANCHI TOKA KATIKA MAKUNDI MBALIMBALI YA MICHEZO KAMA IFUATAVYO:-


Picha ya kwanza ni MKUU WA WILAYA YA KITETO  

Mh. Col. S.Nzoka



Katibu Tawala (W) Bw. Ndaki Stephano akiwa katika kujitambulisha na kuwasalimia wananchi na wafanyakazi waliohudhuria Sherehe za Mei Mosi 2016



Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto Mh. Lairumbe Mollel akiwa katika kujitambulisha na kuwasalimia wananchi na wafanyakazi waliohudhuria Sherehe za Mei Mosi 2016

Makamu M/Kiti wa H/W - Kiteto Mh. Yahya Masumbuko
akiwa katika kujitambulisha na kuwasalimia wananchi na wafanyakazi waliohudhuria Sherehe za Mei Mosi 2016

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji (W)  Kiteto Bw. Raphael Makoninde
akiwa katika kujitambulisha na kuwasalimia wananchi na wafanyakazi waliohudhuria Sherehe za Mei Mosi 2016


HAWA NI WANAFUNZI NA WATUMISHI MBALIMBALI WA TAASISI ZA SERIKALI NA ZISIZO ZA KISERIKALI WA WILAYA YA KITETO WAKIWA KWENYE MAANDAMANO YA MEI MOSI KUELEKEA UWANJA MKUU WA MPIRA WA WILAYA - KITETO
















Viongozi Waandamizi na wageni waalikwa mbalimbali wakiwa wamekaa katika jukwaa kuu.



Wanafunzi wa Shule za Sekondari Kiteto wakionesha mazoezi ya SKAUTI



Kwaya ya Waalimu wa Shule ya Msingi Kaloleni wakiwa wanaingia wakiongozwa na Mwalimu Nestory  .







Kikundi cha Tarumbeta wakitoa burudani





Waalimu wa Shule ya Msingi Kibaya wakiwa wanaghani Utenzi.




Kikundi cha Watumishi wa BOMANI wakiimba Shairi









Mwal. Shule ya Msingi Kibaya akikabidhi Utenzi

kwa Mgeni Rasmi.



Hadhira iliyojitokeza kwenye maazimisho ya Mei Mosi 2016



Waimbaji wa Shairi tika Idara ya Afya wakiwa wanaingia



Hadhira iliyojitokeza kwenye maazimisho ya Mei Mosi 2016



Mwakililishi wa TUICO Tawi la Kibaya akitoa salaam.


Katibu wa Mei Mosi 2016 Bi. Zahara Goda akisoma Risala.


Katibu wa Mei Mosi 2016 Bi. Zahara Goda akikabidhi Risala kwa Mgeni Rasmi.



Mmoja wa Wafanyakazi Hodari Idara ya Mifugo Bw. Nicomedi S. Bayo akipokea Cheti na Zawadi ya ufanyakazi Hodari 


Mfanyakazi Hodari Idara ya Utawala Bw. Muya





Mfanyakazi Hodari toka Mamlaka ya Maji Kibaya - Kiteto





Mfanyakazi Hodari toka Idara ya Mipango

Bw. Lendukush Keiya




Mfanyakazi Hodari toka Serikali Kuu Bw. Said S. Mganga




Mfanyakazi Hodari toka Idara ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Bw. Maurice Humo





Mfanyakazi Hodari toka Idara ya Fedha Bw. Daniel Mollel




Mfanyakazi Hodari toka Kitengo cha TEHAMA

Bi. Zahara A. Goda




Bi. Zahara A. Goda akipongezwa na Wafanyakazi wenzake baada ya kutunukiwa Cheti na Zawadi ya wafanyakazi Hodari 



Mwakilishi wa AWABOMA SACCOS akipokea Hati ya utambuzi kwa kufanikisha shughuli za Mei Mosi 2016



Mheshimiwa Diwani Yahya Masumbuko (CCM) akipokea Hati ya utambuzi ya ushiriki katika kufanikisha shughuli za 

Mei Mosi 2016






Mheshimiwa Bibi. Zamzam Msabi (Diwani viti Maalumu Chadema) akipokea Hati ya utambuzi ya ushiriki katika kufanikisha shughuli za Mei Mosi 2016



Kaimu Mkurugenzi Halmashauri (W) ya Kiteto Bw. Raphael Makoninde akipokea  Hati ya utambuzi ya ushiriki katika kufanikisha shughuli za Mei Mosi 2016





Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akiwa na viongozi Wilaya wa vyama vya wafanyakazi. 






Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akikabidhi Zawadi ya Mabati kwa Wastaafu wa Halmashauri Idara ya Elimu. Huyu anyekabidhiwa ni Afisa Elimu Mstaafu Bw. Lwiva akipokea Bati hizo.




Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akihutubia wananchi katika siku kuu ya Mei Mosi 2016




Mgeni Rasmi akikabidhi zawadi kwa Mshindi wa Mchezo wa kukimbiza kuku ambaye ni Mwl. Mwayika



Mwl. wa Michezo Mwanyika akiwaongoza Vijana wa Sarakasi




Watumishi wa Serikali Kuu na Serikali za Mitaa wakishindana mchezo wa kuvuta kamba




Mgeni Rasmi Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akikagua timu za Netiboli katika uwania wa Mpira Kibaya










Mgeni Rasmi Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akikagua timu za Mpira wa Miguu katika uwania wa Mpira Kibaya










Mgeni Rasmi Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akikabidhi zawadi kwa washindi wa mpira wa miguu




Mgeni Rasmi Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akikabidhi zawadi kwa washindi wa Netiboli




Mgeni Rasmi Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akikabidhi zawadi kwa washiriki wa kikundi cha Sarakasi.


Mgeni Rasmi Mgeni Rasmi (Mh. Col. S. Nzoka) akikabidhi zawadi kwa washiriki wa Igizo













No comments:

Post a Comment